#maisha #simulizizakweli #mbanga
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
@ramadhanyusuph7633منذ 3 سنواتJAMAA KUNA NENO KASEMA NIMELIPENDA SANA KWAMBA KAZI NI AKILI YAKO KUKOMAA UPATE PESA AU KULA MZIGO TU ULUDI PATUPU TZ✅LAHA SANA 3
@
@jumahamis227منذ 3 سنواتAna maneno mengi sana, inaonekana mchangamfu sana ukipanda boda yake . 1
@
@mwanahalimamwachili9679منذ 3 سنوات Weuweeeeee Jamani, Charger Ya Kobe Huyu. 2
@
@zindahwillson2106منذ 3 سنواتMatukio yote umekutana nayo we no ma Sana mzee
@
@castoagust7073منذ 3 سنوات Kama umeskia sometimes madem wanalalia mgongo wangu gonga like 7
@
@magretpeter9924منذ 3 سنواتHapo kwenye kumpa boda yako akachukue hela kwa boss ni uzembe utampaje mtu chombo chako cha motoo? 1
@
@magemushi5594منذ 3 سنواتChereani tena ya umeme maneno mengiiiii sijui unaulizwa nini unajbu nini ilimradi umechangamsha genge
@
@bilhaagutu9788منذ 3 سنواتWale wa 254 wapi likes zetu kwa kipindi kizuri
@
@yohanamuumbe4628منذ 3 سنواتwaandishi wa habari muwe mnaandika habari za kuelewaka kwa jamii,jadithi hatutaki 1
@
@dulamedy2296منذ 3 سنواتKaribu tena mshkaji wangu.huyu kweli ni bodaboda
@
@mwidinijuma8214منذ 3 سنواتHuyu jamaa kama muongo vile anasema pikipiki ilikuwa silencer alichofanya nikuwasha bodaboda na kuondoka!!!!. 1
@
@adilhabibu7958منذ 3 سنواتSema hapo wasomesha wenzio kama btahadhar tu
@
@fadhilikawambwa5159منذ 3 سنواتMMMMH HUYU JAMAA HAKUMALIZA KWELI?MBONA MJANJA SANA
@
@jayjay4313منذ 3 سنواتJamaa wa namna hii waongeaji ka umeme lazima story zao zihusike na mambo ya kutofikirika. 5
@
@stidejustin1156منذ 3 سنواتYani kuanza ru kutizama nimejua haka kajama kanaongea sana kazee lkn kansmuita jamaa mshkaji wang
@
@cheiknamouna2058منذ 3 سنواتAti ukiwa msafi is mater zaidi nani kaskia hiyo 2
@
@godfreypeter5242منذ 3 سنواتHuyu jamaa muongo alifanya ukiondoa hiyo mitihani mingine
@
@ivaniavianarodrigo7201منذ 3 سنواتhuyu kameza mabetry na zile kanda za kaseti, au flash maana daa!!!, analonga sana. 2
@
@uvuvuvwevweonyetenyevwe121منذ 3 سنواتsura na shat kama muimba kwaya ila sasa anavyopiga domo anaonekana dalali huyu
@godwinmpazi1560منذ 3 سنواتHuyu Jamaa hazeeki.mchicha ,ugali na dagaa mbichi.msidharau huo mlo ndugu zanu Namkumbuka alikuwa mpiga debe kituo cha Mwenge enzi hizo matope kibao.nilikuwa msingi sasa none kana nimezeeka kuliko yeye.
@
@suzanemwangingo6932منذ 3 سنواتSina muda wa kumsikiliza huyu chizi naangalia watu wanaoongea point
Related videos for DEREVA BODABODA ALIVYOKUTANA NA KIUMBE WA AJABU USIKU WA MANANE/ALINAMBIA TUMALIZANE/CHUPUCHUPU:
Karibu ten mshikaj wang
Kufariji wafiwa 1
Namkumbuka alikuwa mpiga debe kituo cha Mwenge enzi hizo matope kibao.nilikuwa msingi sasa none kana nimezeeka kuliko yeye.