@barakashilumba1103منذ 4 سنواتIzo nguo za.zuchu mh! Mungu atusamehe.ata kama pesa
@
@nenadurra8477منذ 4 سنواتMtangazaji kiswahili vepeeee, ni gari au gali? 7
@
@suleimanamani6413منذ 4 سنواتBro ni range rover si discovery Gari aliopanda mosy yobo ni ile ya mama dangote alafu pardo moja ya mbosso nyingine ya mondi ile alio mpaga tanasha 6
@
@Lovearatorمنذ 4 سنواتmagari hayo yote ni ya thamani sana na lakini lile jeusi ni la bei ya juu sana. Kama sjakosea kwa mbali ni la pesa taslimu milioni 35 za Kenya 2
@
@sakiman8825منذ 4 سنواتNo need for many cars build schools with the money ur legacy will last for hundreds of years many kids will have brighter future those cars will eventually rust 2
@
@jessicabrown5885منذ 4 سنواتKwanza umeanza kukosea kwenye gari ya mboso Wakati ni ya bi sandra Mboso ni prado tx limited
@
@mussataliye7815منذ 4 سنواتWewe muadish huna ham wakuwa nao huo utajir 9
@rowlandmushi269منذ 4 سنواتWe jamaa acha uongo mendes haendeshi discovery bana ni range rover sport
@
@nuuhmkaly7458منذ 4 سنواتNahitaji au ninashida na no ya diamond platnumz
@
@nansikilovele1424منذ 4 سنواتHahaaaa,ww mtangazaji wew,unawachokoza wanaofanya mzik kujifurahisha,badala ya kufanya km biashara! Hahaaaa tugari twingine twa watu wa upande wa pil mmmh! 1
@
@johnsonkillenga8389منذ 4 سنواتSiwezi kuishi maisha ya kifahari angali Kuna watu Wana njaa atakama nimebarikiwa zaidi ya hapo lazma niishi maisha ya kawaida ili Nile na wenzangu
@
@ahmeddarweysh3158منذ 4 سنواتUnajua maana ya kufuru.?.Lamborghini, Bugatti, ferrari 6
@
@kelvinnidbaza4717منذ 4 سنواتHuyu jamaa mweu,izo gari anakata bima ya third party
@
@abubakarikisuju5374منذ 4 سنواتHayo magari ni ya diamond ila kawapa wafanyakazi wake"wayatumie lakini wakijiondoa WCB wanayarudisha 7
@
@leticiatibanyenda282منذ 4 سنواتWe ntangazaji hacha ujinga tafuta vya kwako
@
@cartv5085منذ 4 سنواتmzee ni range rover hyo na si land rover bro " discovery ni land rover "
@
@rowlandmushi269منذ 4 سنواتAlafu iyobo anaendesha gari ya mamaake mondy 1
@
@yasinalli3406منذ 4 سنواتSio yote magari yake iyo range rover nyeupe ya sallam SK iyo land cruiser nyeupe ni ya mbosso iyo v8 nyeupe ni ya simba 5
@
@leticiatibanyenda282منذ 4 سنواتKm freemason kweli mungu anaona na hakiamua kuanza kutandika watu viboko ntalia wengi
@
@michaelkessy5740منذ 4 سنواتThamani ya gari hayo, hadi uwone kwa ndani? Usibabaike na bodi
@
@mrmago4870منذ 4 سنواتTukitaka kujua kama huu utajiri ni wa haki au laah. Kwanza tujiulize huyu Diamond show moja ya nje analipwa sh ngapi?na anafanya show ngapi za nje id="hidden5" class="buttons"> kwa mwaka? Matangazo yanamlipa sh ngapi (Pespi, Parimatch n.k.) . Nadhani hapo ndo tutaelewa vizuri kuhusu pato lake je linamruhusu kumiliki magari kama hayo. ....وسعت1
@
@chrismassawe326منذ 4 سنواتUongo tu hana utajiri huo hanaa na ukitaka kuamini subiri akifa kama kanumba ndo utajua kumbe msanii ni msanii tuu
@
@Mamatonny2065منذ 4 سنواتUshamba tu!. Leteni Mambo ya maana!.Udaku haufai!. Fanyeni kazi kwa bidii milango yote iko wazi! Msipoteze muda wenu hapo. 1
@
@othmanomar7570منذ 4 سنواتMwandishi utafirwa kw ushamba w magar ayo huku zanzbar tumechora taxi cc tunapakilia watu 2
@
@alibinali_منذ 4 سنواتWacha kuongea ujinga kaka sio poa be open be real hayo magari ni ya watu tofauti Diamond salam lavalava mbosso sio Diamond peke yake aliekuja hapo
Related videos for UTAJIRI WA Diamond Platnumz na Team Yake Aongozana na Msafara wa MAGARI ya KIFAHARI:
Gari aliopanda mosy yobo ni ile ya mama dangote alafu pardo moja ya mbosso nyingine ya mondi ile alio mpaga tanasha 6
Wakati ni ya bi sandra
Mboso ni prado tx limited