Magufuli ni mzalendo na sio mbinafsi pia ni rais pekee kila jambo analolifanya amekua akitamani kila rai alijue, hata pale lugha inakua nikikwazo kwa watu kuelewa basi anaweka mkalimani, sasa watu wamekua wakidhania hajui kiingereza, lkn kiingereza ni lugha tu kama kiswahili na ndiomaa kweke sio pointi yenye tija kubisha na utumwa wa watu!
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for MNAOMPONDA MAGUFULI HAJUI KIINGEREZA MSIKILIZENI NA MKAE KIMYA (TANZANIA FIRST):