Serikali imewatoa hofu watanzania kuhusu kukamilika kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa uzalishaji umeme wa Stiegler's gorge unaotarajiwa kukamilika uni mwaka 2022.
Pamoja na hayo Tanesco imekanusha hatari ya kuathirika kwa wanyama kutokana na ujenzi wa mradi huo.