Duration 8:18

Taabu za dhahabu: Wachimba dhahabu wapitia changamoto nyingi Kakamega

30 685 watched
0
124
Published 2018/03/19

Watu wengi hupenda mapambo na vipuli vya dhahabu japo ni wachache hujua wanachokipitia wachimba migodi hadi pale dhahabu hiyo ikapatikana. Mwanahabari wetu Dennis Matara, alijikakamua na kuungana na wachimba dhahabu eneo la timbo ya Rostaman, Kakamega na kuingia timboni kukuandalia taarifa ifuatayo ya taabu za dhahabu kutoka Kakamega.

Category

Show more

Comments - 19