Duration 15:26

Mpango wa INUA JAMII kuwapa pesa wazee, walemavu na mayatima

1 826 watched
0
10
Published 2019/11/15

Waziri wa eba na ulinzi wa jamii balozi Ukur Yatani anazindua mpango wa shilingi bilioni 8.7chini ya mpango wa INUA JAMII ambapo wasiojiweza katika jamii, wazee, walemavu na mayatima wanafaidi malipo ya kila mwezi kutoka kwa serikali. Hii leo malipo ya mwezi wa Julai, Agosti,Septemba na Oktoba. #SemanaCitizen

Category

Show more

الكلمات

Comments - 5