@robertchuma6408منذ 3 سنواتAisee Kishimba ni Kichwa cha Ukweli maana anatoa hoja na mbadala wake. He is Real Genius Professor thanks so much Professor Kishimba 8
@
@andrewvedastus6958منذ 3 سنواتYou are a genius mr Kishimba, and i think you should be granted an honour to be a professor, according to your big iq! congrats. 21
@
@GaudenceRaphaelمنذ 3 سنواتPale Mbunge anapoongea kama Raisi wa Nchi au Waziri Mkuu.Gonga like twende mbele 63
@
@pascalmstaarabu4372منذ 3 سنواتWasukuma wana akili sana haijalishi wamesoma au hawajaenda darasani wanaokubaliana na Mimi wagonge like 34
@
@nassoroabdallah3670منذ 3 سنواتMh Rais wangu huyu mbunge anaweza kuwa mshauri nzuri Sana mpe nafasi ktk ofisi yako Kama itakupendeza inshaallah. 49
@
@raymondjimmy2712منذ 3 سنواتHuyu Mzee ni wa kuangalia vizuri Point zake zipo strong 27
@
@manenoibrahim980منذ 3 سنواتYani unaweza kufikiri huyu mzee ni mwananchi wa kawaida toka kijijini kaja bungeni kuwakilisha wanyonge wenzie, big up sana kisimba 11
@emmanueldutuleo3992منذ 3 سنواتDu nakuunga mkono professer kishimba uko vizuri kabisa penda sana wewe 10
@
@benatusrupili9521منذ 3 سنواتUmetisha sana mbunge 2025 tunakuhitaji ugombee urais 3
@
@jericomgaya8282منذ 3 سنواتMzee wangu Kishimba namkubali kitambo sana na hajawahi kuniangusha kwa kweli! Tangu aseme mtoto umemsomesha halafu baada ya kupata kazi anaanza kukukwepa id="hidden1" class="buttons"> kwepa anafaa ashitakiwe! Na ikiwezekana tubadilishe utaratibu tukiwalipia ada wasaini mikataba ya kulipa madeni ya ada baada ya kumaliza chuo!! Hongera sana Mhe. Kishimba kwa strong points unazozitoa Bungeni ....وسعت5
@
@melasdekas825منذ 3 سنواتHongera sana Msukuma mwenye busara. Wewe ndiye mbunge wetu mwenye kutoa taswira nzuri. 3
@
@issamohammed8298منذ 3 سنواتMh,Kishimba huo niukweli kabisa tunaenda Hospital unaambiwa Hakuna Netwek Mara unaambiwa Kifurushi hichi hakiwezi Kukupa Huduma Hongera sana Mh,Kishimba 5
@
@nzellahhamis1504منذ 3 سنواتLamadar Hotel hujazijenga kwa bahati mbaya. Genious sanaaaaaa. Nahisi mtu smart sana aliye karibu na wewe ni KATIBU WAKO WA MBUNGE. 5
@
@loishiyesamwel1374منذ 3 سنواتKishimba upo vizuri sana, ninakukumbuka sana kuhusu swala la Elimu ya Taifa letu inavyowachelewesha vijana wetu. Haswa elimu ya juu. 8
@
@deusijohn3863منذ 3 سنواتAsante sana hapo kwenye matibabu umegusa sanaaaaa, serikali ichukue hatua 6
@
@robertnicodemas5853منذ 3 سنواتTukipata wabunge 50 tu.kama kishimbi,Hakika matatizo madogomadogo inayotukabili sisi wananchi wakipato cha chini yatapungua.asante sana mh 9
@
@AbdulAbdul-pr9qeمنذ 3 سنواتmoja ya wabunge makini sana, ni swala ambalo hata mie huku uswazi nililiongelea sana masikini tunakufa kwa kukosa 50 elfu tu dah 13
@
@ashamaneno6639منذ 3 سنواتI wish akuna mbunge shupavu kama uyu mungu akulinde ndugu yangu kila oja zako zipo vizuri saaaaaana napenda sana kusikiliza kaka. 2
@
@officialsteeve2384منذ 3 سنواتKweli elimu sio kuingia darasani tu, we mzee ni genius 13
@
@princejosephat8316منذ 3 سنواتHakika wewe ni mbuge wa pekee unayejua maisha ya watanzania na adha tunayoipata sisi wananchi wenu,hawa ndo wabunge wazalendo wanaofuatilia maisha ya kila id="hidden3" class="buttons"> siku ya wananchi wao.safii sanaaa.naktakia maisha marefu ili ufundishe wengi ktk kujenga hoja hapo mjengoni. ....وسعت10
@
@elibarikielikana1824منذ 3 سنواتGenius kama hawa wachache umefikiria parefu sana. Serikali iangalie kwa macho mawili kabisa 4
@
@edwardmaumau9455منذ 3 سنواتUbarikiwe sana mheshimiwa kishimba kwa suala la matibabu bure 3
@
@ezrashukuru7511منذ 3 سنواتHallelujah.namtukuza Yesu Kristo kwaajili yako Mbunge wa Taifa 7
@
@happynesskimt6249منذ 3 سنواتAsante sana kwa kuliona Hilo mana huku yako mengi nyuma ya pazia, traffic waamishiwe hospital japo ila ni kweli kabisa ndio maana wengine hatuoni manufaa ya bima 7
@
@lyimohilda7880منذ 3 سنواتUmewatetea vizuri mno wanyonge kwa busara na hisia, hata Mungu amefurahi. 15
@
@matindembaratani6221منذ 3 سنواتHuyo mbunge akili nyingi Sanaa namfatilia Sana uko vnzr 6
@
@johnleonard4835منذ 3 سنواتMzee big up kwa mawazo yako maana daaah sio kwa kuwaza parefu na nimeamini utu uzima dawa 5
@
@benderamateso8244منذ 3 سنواتMy best Member of Parliament ever, so genius - hoja za msingi zinazogusa, kahama mnaye mbunge 1
@
@mursalsaid3327منذ 3 سنواتUmeongea point , miaka iliyopita matibabu yalikua bure ,ukiandikiwa doze zote ulikuwa unapata ,hata upasuaji ulikuwa bure , lakini Sasa hivi imekuwa shida Sana , 10
@
@shabanfelix4273منذ 3 سنواتYani wakati mwingine ccm kuna wambunge wenye akili timamu nauzalendo toka nianze kusikiliza bunge uyu mzee niwakwanza kusema maisha halisi yamtanzania 5
@
@jaykimoga1888منذ 3 سنواتĐâh! Tunawataka hawa darasa la saba wenye busara na akili kama zote 7
@
@julianasanga9548منذ 3 سنواتMbunge wewe upo vizuri sana unajuwa tabu zetu huku chini tunateseka sana Mungu akutunze hakika wananchi wako wanajivunia wewe 2
@
@pascarmwatosya6815منذ 3 سنواتSafi Sana kiulahisi utaona hajaongea pointi,Ila huyu mbunge Nimekuelewa Sana Hongera sana mbunge kwa kuwa umetambua umetumwa nini na Mbos wako wabunge id="hidden7" class="buttons"> Kama awa ndio wanaotakiwa bungen huyu atakuwa hakupita bila kupingwa,Hongera Tena mbunge ....وسعت2
@
@alphoncejuma9652منذ 3 سنواتMheshimiwa mbunge hongera sana kwa hoja zako msingi 1
@
@johnwoshi3459منذ 3 سنواتUmewalecture mpaka Basi hongera mweshimiwa JK 3
@
@eliyahubi1887منذ 3 سنواتUko vizuri.sana kishimba. Wabunge mwengine. Ni maslahi yao tu. Afya tu ndo. Mtaji wa Maskini. 1
@
@elizawamainge8623منذ 3 سنواتUmenikosha sana.wa vijijini tupo na wewe kwa swala hilo 4
@
@salmamgeta1599منذ 3 سنواتNakupenda sana sichoki kuku sikiliza baba 6
@
@mariachombo7316منذ 3 سنواتYani wewe ni mbunge mmoja, katika wote, nakukubali sana , nitakuombea aisee uishi milele tutetee baba 5
@
@khalidtv6200منذ 3 سنوات"WANAIPITA NYAMA HAPO WANAFUATA MCHICHA PALE TENA BILA MALALAMISHI"(mwisho wa kunukuu) 9
@
@mpongomwenda1599منذ 3 سنواتNimetokea kukupenda sana lillaah kiongozi wetu. 1
Haswa elimu ya juu. 8
1. Vita
2. Ujenzi
NOTED 13