@zawadichalale4047منذ 3 سنواتPamoja na madhaifu yako ila Kwa upande wngu nimejifunza kitu kikubwa sana nitamheshimu mume wangu sana 3
@
@alexjohnananiaمنذ 3 سنواتJimmy(Mtangazaji) you soooooo wise.Ndani yako Kuna hekima ndani yako. 2
@
@maglansangenoiمنذ 3 سنواتMtangazaji kwa kweli big up sana kwako.una maswali mazuri la utulivu mzuri sana kwenye kipindi. nafurahishwa sana na namna unavyomudu kipindi chako.
@
@theresiakapinga5238منذ 3 سنواتUliyemchokoza kaja! Kupitia maisha yako ipo shule.
@
@bosslilyg4390منذ 3 سنواتHuyu kaka anaonekana mtata sana, mke wake ana shida kwakweli 2
@
@maxjofrey8298منذ 3 سنواتKiukweli brother Jimmy nimejifunza mengi Sana kwako na nnahamini naweza kujifunz zaidi brother Yani unaongea point Sana brother
@
@joycemashikolo9096منذ 3 سنواتHilo swari la utata!Moja kwa Moja tu huyu kaka ongea yake tu ni mtata Mkubwa sn .ni zaidi ya coronambishiiiiii 1
@
@peaceisrael8158منذ 3 سنواتMtangazaji hapa umeonyesha busara ya hali ya juu sana .Mungu akubariki sana. Huyu mke ana moyo pia.. cant imagine anavyohalalisha tabia za ajabu @wanawaake wa bibilia nonsense
@
@browrinah9357منذ 3 سنواتUkweli unauma ndo maana brother Jimmy utmwona kama vitu anavyo ongea haeleweki au nimkali. 1
@
@frednzunda8040منذ 3 سنواتInawezekana nimechelewa kujibu ila nimejifunza kitu kikubwa kwenu watumishi. Moyo mzuri ni ule usioficha au tunza mabaya ingawa ukiwa na moyo huu utaonekana vingine maana haki siku zote huonekana kama udikiteta. 1
@
@zaburi2386منذ 3 سنواتHyu jamaaa jimmy mafufu anajua kujieleza ni kipaji kikubwa
@
@dastankalinga442منذ 3 سنواتSikujua kabisa mafufu kaokoka? kweli Mungu ni wa maajabu
@neemajohn5811منذ 3 سنواتUpendo au hesabu mabaya, upendo uvumilia, hakuna mwanank utakae nae mdogo wangu, nina miaka 26 ya ndoa, na kumbuka mwanake nae ana moyo wa maumivu, hujamuumba wewe, bado una safar ndefu kama hutobadili, 1
@
@alexjohnananiaمنذ 3 سنواتJimmy,huyu Jimmy mwenzako anaongea ukweli.Naomba Sana unisikilize,huyu ana asili ya ukweli.Hana UNAFIKI ndani yake.
Related videos for Sio Vizuri Kuingilia Mambo Ya Watu, Ila Huyu Mama Amejikosea Mwenyewe Jimmy Mafufu.:
Moyo mzuri ni ule usioficha au tunza mabaya ingawa ukiwa na moyo huu utaonekana vingine maana haki siku zote huonekana kama udikiteta. 1
ASANTE !!!! TUPONEEEE