NAIBU Waziri wa Kilimo, Hussein ameagiza wakaguzi kutoka hazina kuchunguza viongozi wote waliobadilisha matumizi ya Sh10 bilioni zilizoelekezwa kwenda Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) kwa ajili ya kununua mbole na viatilifu na badala yake fedha hizo kupelekwa sehemu tofauti kinyume na sheria.
@oswardmwambete775منذ 5 سنواتBashe Walikuchelewesha sana kuwa Wazili watanzania tunakuelewa sana chapa kazi baba chi isonge mbele Imechelewa sana lkn itafika tu 5
@
@anafisuleimani7083منذ 5 سنواتNakupenda sana naibu waziri wa tasnia hii akuamini sana 4
@feisalsalum1258منذ 5 سنواتMungu akujalie maisha mema akupe maisha marefu,ila utabili wangu hapo baadae uwazir kamili utaupata kabisa tena huenda ukawa mkuu.inshaalah 1
@
@mjige9088منذ 5 سنواتYes - kijana chapa kazi tu Mr Hapa kazi tu anakuona vizuri sana hapo ikulu Magu the bulldozer president of Africa 1
@
@mohammedmdangwe2056منذ 5 سنواتbashe pambana wanachi tunakukubali kamata wote 14
@
@ngurelore6031منذ 5 سنواتUwaziri unakuja mwishoe presdent, may God be with you 5
@
@onesmohaule2853منذ 5 سنواتeeehh mambo yananoga bajuta kachomoa betri 5
@
@yahayamkone4040منذ 5 سنواتNajiskia fahari Sana ninapoona mtu anafanya kazi za kuipeleka nchi mbele Kama Bashe nakukubali Sana baba 8
@
@johnmbugani6532منذ 5 سنواتNchi hii tunaihujumu mpaka shetani anatuogopa, yaani kuna uwezekano ukachanganyikiwa jinsi watumishi wengi wa serikali wanavyofanya mambo. Huwezi kuamini id="hidden2" class="buttons"> hadi leo hii bado kuna watumishi wanafanya mambo haya. Hatua kali zifuatwe bila kuchelewa ....وسعت5
@jabirikilagilile9799منذ 5 سنواتBashe uwe waziri kamili kwani hayo unayoyasema yanashabiiana kabisa na Rais wetu inaonesha una uchungu na wakuli BAJUTA na hao viongozi wa bodi ya korosho id="hidden3" class="buttons"> wanapiga pesa kama walielekezwa wampe wakala wa serikali kwa nini wampe BAJUTA hayo mambo ya 10% piga kazi bashe waziri Mkuu ajae ....وسعت2
@
@fauahamisi1097منذ 5 سنواتHapo bodi ya korosho hapo kuna balaa paangalie sana kuna balaa kubwa hapo mkuu utajionea 3
@
@gilberthndakidemi7358منذ 5 سنواتbaba nakuelewa bajuta hakuna kitu anachozalisha kwa kiwango kinachotakiwa sisi watumiaji wa bidhaa as final consumer anachozalisha totally kiko chini ya id="hidden4" class="buttons"> kiwango na TPA ichunguzwe inaonyesha kuwa kuna watu baadhi wanaubia nao na ndo maana anazalisha pumba na hawamsemi ....وسعت4
@
@abdillahmbinga7050منذ 5 سنواتYaaaa ndio maana nikasema tunakuitaji sana. 4
@
@gregorychogelo2013منذ 5 سنواتUhuni wa hali ya juu!! Hiyo Kampuni ya Bajuta na Cartel yake ni wa kuchukilia hatua kali iwe fundisho kwa washenzi wote wanaohujumu taifa. 2
@
@margarethsolomon9823منذ 5 سنواتSinema ya kihindi ikaanza. Wamezoea kupiga changa la mbolea hiyo ingeharibika. BAJUTA rudisha 4.5bl. 5
@
@hamishamis9905منذ 5 سنواتMagufuli uko wapi MPE uwaziri huyu jamaa ni noma sanaaaa
@
@othmanshahib1115منذ 5 سنواتUpigaji wa hela za serikali siyo ishu tena ibaki histori tu 3
@
@gregorychogelo2013منذ 5 سنواتHaya ndio mambo yanatakiwa.! Nyoosha wapuuzi wote. 2
@
@peterkihongosi1966منذ 5 سنواتSikumkulima akisaidiwa maendeleo yataonekana 4
@
@patricknyiti5303منذ 5 سنواتBAJUTA wanajuta sasa ..Angalieni na majina ya kuzipa kampuni jamani .Sawa na umwite mtoto Majuto 1
@
@johnmbugani6532منذ 5 سنواتSiyo TPRI na TFRA waitwe bali wao wanawajibika kwa mujibu wa Sheria. Na hao wote walibadilisha matumizi kinyume na maelekezo ya serikali wafilisiwe na id="hidden5" class="buttons"> kufungwa hakuna mijadala ya kiboya tena. Huku kuleana na hujuma imetosha sasa ....وسعت3
@nyerere1259منذ 5 سنواتWazee ela ya serikali hii ni chungu. Msaidie Kazi JPM baba unaendana nae. 2
@
@ahmadmasunda8198منذ 5 سنواتWALIBADILISHA MATUMIZI ILI WAPATE 20 PERCENT 2
@
@gabrielbahat9107منذ 5 سنواتTutafika kwa mwendo huu! Watu wnafanya mambo ya ajabu! 2
@
@mwalimumbukuzi7273منذ 5 سنواتusijetumiwa ki memo kwamba unaingilia anga za wakuu!!! ila mwenyeezimungu akulinde. 4
@
@rajabungatanda3749منذ 5 سنواتPiga kazi babaaa Hakuna kusinzia mpaka wakujue kama wewe ni jembe 11
@
@deogratiusmaruma2652منذ 5 سنواتwewe unafaa kuwa waziri kabisa wa kilimo unaibu waziri haukufai, we ni jembee 9
@
@godfreylyimo4177منذ 5 سنواتBashe sio tu ana uwezo wa akili lakini ana uzoefu wa biashara. Watendaji kumbukeni hii sentence "I mean business" sijui maana yake lkn nadhani huyu ana maanisha analosema na utendaji wake 7
@
@ramadhansylvesta1952منذ 5 سنواتwewe ni wazirt sio naibu waziri for me 2
@
@abdallabundala158منذ 5 سنواتcorruption is flowing in many Tanzania cilvil servants
@
@samwelonesmo5964منذ 5 سنواتBashe swala la pamba vp mbona mkulima halipwi pesa af Hadi Sasa 5
@
@godfreythomas3931منذ 5 سنواتYa badala ya kucmamia unga sasa1400 kilo Uhangaika naambolea rais akicema hamfanyikaz mnaona mmeonewa 4
@
@kabugashija4836منذ 5 سنواتNgangamala Bashe labda nafuu ya wakulima itapatikana, lakini ni kwa nini ninyi mnaosoma na kupewa DHAMANA MNAZITUMIA OVYO KUTUUMIZA WALALAHOI? NA KUTUIMBISHA WIMBO WA HALI NGUMU? ETI RAISI KABANA .JE NI KWELI???? 3
Related videos for BASHE AWAKA KUCHEPUSHWA KWA MABILIONI YA FEDHA ZA UNUNUZI WA MBOLEA, VIATILIFU:
Hiyo Kampuni ya Bajuta na Cartel yake ni wa kuchukilia hatua kali iwe fundisho kwa washenzi wote wanaohujumu taifa. 2
Nyoosha wapuuzi wote. 2
Hakuna kusinzia mpaka wakujue kama wewe ni jembe 11