Duration 1:43:30

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI. IKULU DSM

7 837 watched
0
70
Published 2019/10/28

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anapokea hati ya Utambulisho kutoka kwa Mabalozi Wateule wafuatao- 1.Mhe. Riita Swan - Balozi Mteule wa Jamhuri ya Finlanda hapa Nchini 2.Mhe. Manfredo Fanti - Balozi Mteule wa Umoja wa Ulaya Nchini 3.Mhe. Meja Jeneral Charles Karamba- Balozi Mteule wa Jamhuri ya Rwanda Nchi Hafla ya Upokeaji wa Hati za utambulisho wa Mabalozi hawa zinafanyika Ikulu Jijini Dar es salaam.

Category

Show more

Comments - 4