Duration 3:39

USIKATE TAMAA

56 856 watched
0
468
Published 2021/05/23

Wimbo ulioimbwa na Lawrence Kameja. Huu ni wimbo unaotukumbusha kwamba hakuna nguvu yoyote inayozidi nguvu ya Mungu. Tunapokutana na matatizo katika maisha yetu, tusikimbilie nguvu za kibinadamu, bali tumtazame Yesu kwani yeye anaweza yote. Haijalishi ni shida kubwa kiasi gani, ukimwendea Yesu atakusaidia na hakika tatizo lako litaisha. Wimbo huu umetungwa na Ray Ufunguo na kurekodiwa katika studio za RAJO Productions #rajoproductions #miminaneema #kwayakatoliki

Category

Show more

Comments - 108