Duration 1:22

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu *Shaka Hamdu Shaka*

107 watched
0
2
Published 2021/05/21

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu *Shaka Hamdu Shaka* amewaomba Radhi watanzania kwa Tatizo la Mfumo wa LUKU wa TANESCO na kuwasababishia Usumbufu watanzania wengi. Ameipongeza Pia Serikali ya Awamu ya Sita Chini ya Rais *Samia Suluhu Hassan*, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri wa Nishati namna wameshughulikia tatizo hilo na kurejesha Huduma kwa wananchi.

Category

Show more

Comments - 0