@sabbob574منذ 4 سنواتTID still on top. Legend. U rock so many dancing floor around the world no body can take away that from u. Big up to u. Ladies another great interview 3
@
@mahmoudaziz4717منذ 4 سنواتUyu msanii ni best sana tanzania.TID anajua sana. 8
@
@hassanjecha50منذ 4 سنواتhuyu jamaa yuko vizur ktk kingereza na ni msanii mzuri lakin tatizo mambo mengi tu 19
@
@lockdown4670منذ 4 سنواتTID was top kwa bongo. Nakumbuka alipokuja concert Kenya. Sisi bado twampenda na twasikiza wimbo zake bado. 9
@
@yudatadeshayo4434منذ 4 سنواتTiD,hemedy,gigy money ,ben pool ni watu ambao mb zangu watakula sana very open kwenye interview zao 2
@
@alibinali_منذ 4 سنواتKama wanipenda ninunulie zeze niki lala kitandani zeze lanibembeleza that is T.I.D remember that song when I was in school 1
@
@aminathaabubakarmasoud565منذ 4 سنواتBrother TID leo umetulia mashaallaah, afu ukiwaga hivyo sikuzote unapendeza mnoo 1
@
@lovvy854منذ 4 سنواتTID ni kigogo wa sanaa manbo cheche na bado yupo juu tu Sana anatisha kinyama namkubalii ✌️
@
@azzamahamdu7039منذ 4 سنواتTop in dar/ TID.tid is a full Package jomon ZEZEkipndi ni kizuri lkn mda wachosha. Punguzeni mda kdgo 1
@
@alimbwana5952منذ 4 سنواتMars you so Chicky with your eyes,love you crew 3
@
@godfreymlay5106منذ 4 سنواتsindi uko vizuri sana unajuwa kazi yako nini ila wenzako wanauza sura
@
@eastcuisines124منذ 4 سنواتleo ndo nimejua maana ya TID ."Top In Dar" 1
@
@yassersahin6639منذ 4 سنواتMimi Mars amuite daimond umuhoji hapa 1
@
@alirashid3239منذ 4 سنواتLeo ndo umetulia na umeongea kiutu uzima kuliko interview zote. 15
@
@sambesk2719منذ 4 سنواتTid.kumbe ukihojiwa na wanawake huaga unatulia hivi. 1
@
@alibinali_منذ 4 سنواتT.I.D this guy is Dop katika wasani wingi wa Tanzania huyo jamaa ako juu in English 2
@
@arakazakinglight4253منذ 4 سنواتComme si ,comme ça ## T i D ni fool paquage ,welcame in french systm , from
@
@subrynerysegerow1323منذ 4 سنواتJamani corona hakuna tunawataka mrudi studio bwana we ah
@
@oliviermukulikire996منذ 4 سنواتNi kweli kabisa iyo ngoma ya nyota yake imevucha record pote kabisa
@
@nickjuma3937منذ 4 سنواتTID umesahau! hata baba Levo alikwenda jela!
@
@bellabakeraمنذ 4 سنواتGuys I think you should try to accept people the girl in the right side she is like that. 2
@
@kizinja7873منذ 4 سنواتtid unanimalizia bando langu mbwa ww yani daah nakkubali sana
@
@issaissah8832منذ 4 سنواتKuwa kwenye gem muda mlefu sio issu mafanikio ndio issu 1
@
@maomacatta9770منذ 4 سنواتTID hana jipya ubishoo umepitwa na wakati umeanza jabla ya Diamond lakini mwenzio yuko juu hana ubishoo
@
@omarykiduka8307منذ 4 سنواتKiukweli tid Kama umerud mzki umebafilika
@
@munyemanahassan7807منذ 4 سنواتTID leo naona umetulia na unaongea sawa, lazima jifunze kubadiri past, ndani yako kuna uwezo mkubwa
@
@muthegreat3667منذ 4 سنواتSija wai ona td katulia kam kwenye hiichi kipindi .
@
@monicawanza2100منذ 4 سنواتNlithani dada mwenye ako right yuwamchukia Tanzania sweetheart kumbe ni maumbile yake, hawezi smile hata kidogo 3
@
@blandinamnyinga8318منذ 4 سنواتuongo mwingine hadi viganja vinawaumbua
@
@LeeUfuduمنذ 4 سنواتKiingereza ni lugha tu kma lugha zingine 1
@
@Qtep-eb3ogمنذ 4 سنواتNyie wadada hampendi huyo dada mnjano kama yote mshaurini mwenzenu kila kipindi make up kama jini 5
@
@samwelsengati1369منذ 4 سنواتAchen kupumbaz watu kwan kuongea kingereza ndio nn. Kingerez n lugha sawa na kimakonde. Tofaut nn lugha y kimataif 1