🔴#LIVE: MSTAAFU MWINYI AWAVUNJA MBAVU RAIS SAMIA, MAMA JANETH NA KIKWETE, HOTUBA YAKE NI TAMU KWELI!
MWILI wa Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, unatarajiwa kupumzishwa kwenye nyumba yake ya milele, Leo Machi 26 huko Chato Mkoani Geita...
Mazishi hayo yamehudhuriwa na viongozi wastaa wakiwemo Marais wa awamu ya Pili, AL Hassan Mwinyi na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
@queenkileo3698منذ 3 سنواتBless Mzee wetu.he still got the sense of humour!!! 21
@
@davidsalikoki6319منذ 3 سنواتKama na wewe ulitaman aendeleee twende sawa like 39
@
@muhammadsaidi4872منذ 3 سنواتALLAH AMPE SIHA NA AFYA BABA MWINYI NA AMPE MWISHO MWEMA YARAB AMIN YARAB SHUKRAN SANA MANENO MAZURI YENYE HIKMA SANA ✅ 9
@
@ibba8082منذ 3 سنواتHata Namuona Mama Janeth Angalau Katabathamu.Pamoja Sana Mzee Wetu 23
@
@johanajoseph878منذ 3 سنواتRaha sana kumsikiliza mzee wetu jamani, siku mojamoja apewe nafasi aongee na wananchi wake, tusisubiri siku tukimkosa jamani, maana maisha yana mwisho. so loveble babu 6
@
@bintmohamedmalevi3771منذ 3 سنواتPoleni sana ndungu Mzee anatufanya tucheke msibani 11
@
@aminatanzanya7475منذ 3 سنواتMungu akupe maisha maref mzee mwinyi Leo tumekuw happy kidg kwa ajili yako 8
@
@Brain7912منذ 3 سنواتUmetufariji kwa kipindi hiki kigumu kwani maneno yako ya hekma yametupa faraja na nguvu Mwenyezi Mungu azidi kukupa nguvu hekma na busara kwa uwezo wake (Amen) 4
@
@violetmageto7134منذ 3 سنواتNimeipenda hotuba yake. Anaongea kwa heshima Sana na hekima 18
@
@nully123منذ 3 سنواتAllah akupe afya na umri mrefu mzee wetu nampongeza pia bodyguard akijaribu kumsaidia. 11
@
@raymondmchani8493منذ 3 سنواتThank you Mzee Wetu Rais mstaafu A.H.M for giving us laughter during this hard times for most of us Tanzania's..and the rest of World who believed on our beloved mwendazake .. 22
@
@thomasmartinez786منذ 3 سنواتMama siti uko pale ningemuuliza wapi hapamiaka mingi mzee wetu mungu akulinde 19
@cefinelgon2548منذ 3 سنواتRaha sana kuwa na wazee waasisi wa taifa 12
@
@ponsianamataka4607منذ 3 سنواتAsante Baba mzee Mwinyi. Nakuona jinsi ulivyo mnyofu kutoka ndani kabisa ya Moyo wako Kama mtoto mdogo na speech ni nzuri Sana. 2
@
@nellyelias20منذ 3 سنواتSafi sana Mzee Wa ruksa kwa kusema ukweli umenifurahisha sana
@
@sweetluc2660منذ 3 سنواتAsante Mzee wetu Mwinyi kutufanya tucheke kidogo baada ya kulia kwa wiki Zima 8
@
@pendaelimolell3510منذ 3 سنواتAsante mzee wetu afadhali mama janeth kapata furaha kidogo 4
@
@sweetluc2660منذ 3 سنواتBaba Hayati Raisi wetu wanyonge amewainua Leo tumecheka kidogo Mzee wetu Mwinyi Mungu azidi kukutunza 9
@
@kennedysalanomashairi7187منذ 3 سنواتRukhsa! Twakuheshimu mno afrika Mashariki rais mstaafu Mwinyi.
@
@sameerahmed2838منذ 3 سنواتMAN OF THE MATCH KWENYE TEAM YA WAOMBELEZAJI 5
@
@rekidiusalexander1542منذ 3 سنواتGreat GOD BLESS YOU MWINYI R.I.P MR PRESIDENT JPM Akika tutakukumbuka daima 6
@
@marianelmi6168منذ 3 سنواتMaashaalah Tabaraka What are decent man 5
@
@agnessmpogole1434منذ 3 سنواتUbarikiwe sana mzee umetufanya tucheke kidogo 1
@
@hajishabani7957منذ 3 سنواتHotuba ya dhati kabisa.. bila unafki ndani yake kawa yule.. Mungu akubariki mzee wetu mwinyi 10
@
@vonethaleonard172منذ 3 سنواتAsante saana Baba Mwinyi na hekima ya nchi yetu 1
@
@alzainaalaghbary5560منذ 3 سنواتMzee wetu Allah akujalie kila la kheir na akuhifadhie mama siti
@
@leiratykisura6718منذ 3 سنواتAllah ampe maisha malefu mzee mwinyi in sha Allah ametupa faraja na bahada ya wiki mzima tunaria reo ametufanya tumecheka Allahmdulillah 4
@
@florakweyunga4490منذ 3 سنواتNikweli ulimpenda Maguful mzee wetu.Mungu akupe nguvuna Afya ya Roho na Mwili.umeongea ukweli mtupu,nilitamani wakupe muda mwigi uwendelee. 3
@
@bazilizakaria143منذ 3 سنواتDah asante raisi mstaafu kidogo na mimi nmecheka 1
@
@nickodemsimchimba594منذ 3 سنواتDaa Mzee chochote kinachopita mbele yake anaongea Tu 16
@
@meena-ol6foمنذ 3 سنواتUmetufariji baba tumelia sana mzee rukhsa we love you 1
@
@jonasmaganga7302منذ 3 سنواتKwa mara ya kwanza nimeona body guard anacheka 6
@
@Ramadhanimsingwaمنذ 3 سنواتMungu akikupa busara na hekima hadi uzee ni kumshukuru hongera raisi mstaafu
@
@focuseric4109منذ 3 سنواتNdugu zanguni watanzania wazalendo tumuombee mzee wetu mwinyi mungu ampe maisha marefu LKN LEO HII MZEE MWINYI AMENICHEKESHA SANA!!YUPO CHATO LKN KASAHAU JINA LA MAHALI ALIPO AKAMUULIZA MAMA SITI MWINYI NIMECHEKA SANA!!! 15
@
@adbashtv6701منذ 3 سنواتMzee kafanya kazi nzuri mnooo kumtabasamisha mjane
@
@neemakoka599منذ 3 سنواتMzee havai hata miwani daaah kweli Mungu kampendelea 23
@
@ramadhanikamaka3839منذ 3 سنواتMzee mwinyi hakika wewe ni zaidi ya jembe, umeleta faraja kubwa sana kwenye msiba mkubwa, inshallah mwenyezi Mungu akupe afya tele mzee wetu
@
@nasramaulid3828منذ 3 سنواتMzee wa ruksa allah azid kumuweka jaman 2
@
@khamikhan4805منذ 3 سنواتMzee ana hekma kubwa Allah ampe afya njema 7
@
@shamomar629منذ 3 سنواتMiaka 96 na havai miwani!!, Allah amlinde na afya njema
@
@gloriamasaka7635منذ 3 سنواتTunaomuobea sana Raisi Samia. MUNGU help tujali wanyonge na wenye mahitaji yatima wajane na wageni. Mathayo 25 na ISaya 58 inatufundisha kujitayarisha id="hidden5" class="buttons"> kwa hukumu tusilimbikize vitu tuwe wakarimu sana. YESU anakuja hebu tuwe tayari kama YEYE naamini alijitayarisha akijua anaenda kufa. Tuanze kuwa wema kwa familia na ....وسعت2
@
@helensusana2026منذ 3 سنواتMarais wa Inchi ya Tanzania wote ni wa maneno ya Busara, vijana igeni mfano huo.JPM nenda salama tutakuombea. 4
@
@magrethandrew9503منذ 3 سنواتHii hotuba natamani kuirudia hata mara 100, imetufuta machozi kwa kweli ina ukweli mtupu, Mungu akubariki babu. 1
@
@wilrickshayo8144منذ 3 سنواتNgoja kwanza kijana wanguu hapa ni mjinii
@
@marygustaph3649منذ 3 سنواتmama siti panaitwaje vile hapa, Mungu akutunze mzee wetu, umetufanya tutabasamu japo tuna majonzi, (RIP MAGUFULI ) 3
@
@josephjohnmagesa8256منذ 3 سنواتMzee ajavaa miwani ,amesimama dakika 25,dah balaa 2
@sifasanga7866منذ 3 سنواتMwinyi umewashinda wote, Mama Janet leo kafarijika. Ulikua wapi Babu wa mie Jamani. Ametabasamu leo Mama etu sababu yako. 2
@
@madamboss348منذ 3 سنواتWazee kama hawa ndio Sudi khalwale wa kenya Mungu sijui kenya tuligwama wapi
@
@benjaminjoseph1747منذ 3 سنواتHuyu mzee nampenda. Hana wivu ka wengine. Sio mara ya kwanza kukiri kwamba Magufuli ni mchapa kazi, amefanya mambo makubwa na mazuri kwa muda mfupi kuliko sisi tulioongoza miaka 10. Mungu akulinde na kukubariki mzee wetu. 6
@
@amanichanga3448منذ 3 سنواتRaisi Pekee ambaye bado yupo kwenye hela, sh 50 8
@
@vincentmushi1247منذ 3 سنواتMungu azidi kukupa uzima babu yetu wa taifa,mzee ruksa,haki hotuba yako ni faraja kubwa kwa wafiwa na taifa zima Yaani nimecheka mpaka basi,mpaka id="hidden7" class="buttons"> nimesahau kama ni msiba,halafu babu macho bado yanaona kama kawaida Hamna miwani wala mkongoja Babu oyeeeee ....وسعت
@
@mahesenitunduma2438منذ 3 سنواتEti mama siti yuko mbali ningemuuliza hapa panaitwaje!? 3
@
@allymwazoa6301منذ 3 سنواتSiku moja ukasema ngoja niwanon,goneze.Nimedumu katika mazoezi miaka yote kila asbh nakimbia maili tano.leo nimeona uimara wako bado hushikwi mkono wala hushiki bakora. Mola akuweke mzee mwinyi
@
@saidbissama9230منذ 3 سنواتmama siti ndo mkalimani wa mzee mwinyi 3
Related videos for LIVE: MSTAAFU MWINYI AWAVUNJA MBAVU RAIS SAMIA, MAMA JANETH NA KIKWETE, HOTUBA YAKE NI TAMU KWELI:
Mzee anatufanya tucheke msibani 11
R.I.P MR PRESIDENT JPM
Akika tutakukumbuka daima 6
What are decent man 5
Yaani nimecheka mpaka basi,mpaka id="hidden7" class="buttons"> nimesahau kama ni msiba,halafu babu macho bado yanaona kama kawaida
Hamna miwani wala mkongoja
Babu oyeeeee ....وسعت