@johnmacha2194منذ 5 سنواتGood job Mama this is a spiritual mission. 1
@
@minabw7301منذ 5 سنواتDuuh wabongo kwa kuogopa maiti!! Kuosha maiti, kumuandaa na kumsafirisha ni kazi nzuri sana tena ya kimungu na haitishi na wala huoti usiku. I never dream id="hidden1" class="buttons"> of the dead. Treat the body right, respect the dead and nothing will ever happen to you. When your time comes, remember you have family, strangers and friends that you treated well on the other side. They will welcome you with love ....وسعت4
@
@worldrapamako3960منذ 5 سنواتwakwa kucomment mkininyima like haa itakuwa roho mbaya nataka like 70 na me nijione star wa kesho jamani 54
@
@hechihechie5558منذ 5 سنواتUko vzr sana hongera sana sana!!!nimefurahia 8
@
@margarethsaramaki1100منذ 5 سنواتHongera dada Mungu akutangulie kwa kazi yako na akuepushe na balaa zote za njiani.Barikiwa sana 14
@
@gitu4meمنذ 5 سنواتSafi sana huyu mama hodari Hizi ndo Habari safiii Nzuri umeanza kutuletea 3
@
@Views-mf8irمنذ 5 سنواتGo Mama Mcha . I told U wewe ni moja Kati ya Mama Wa Dhahabu sana. Mungu akubariki 1
@
@fortnataangelo4805منذ 5 سنواتKama umesikia mwanamke amebeba Dunia, na unakubaliana, gonga like twende sawa, 14
@
@azizasikalwani8432منذ 5 سنواتNakupenda Dada Mungu akupe maisha marefu
@
@mtaalamwamambo2099منذ 5 سنواتAlafu kuna mjinga mmja utasikia wakiona Wachaga wanafanikiwa wanasema ni Freemasons, pumbavu kabsaaaa ☝Wachaga hoyeeeee 14
@
@gracetitus9963منذ 5 سنواتHofu gani? Kama umezaliwa lazima siku moja utakufa. Watanzania acheni kuamini ushirikina na hofu zinzorudisha maendeleo nyuma. Hongera Grace, Graces are always strong women. . 5
@
@mahmudasalum9557منذ 5 سنواتDah.so emotional. Unabeba sku moja unakufa unabebwa ww kwny gar ioio
@
@janempoki1709منذ 5 سنواتPenda wewe mama nipeni like bhas na mm!! 30
@
@albertoarcangel5859منذ 5 سنواتSawa kabisa dereva WA idara ya maji, mamaa nakupendag a sana mchangamfuu mno 1
@
@worldrapamako3960منذ 5 سنواتwanaume awana ukame tuu watu wanabaka mpaka maiti ndembo itakuwaje wamuogope mama mbichi kama uyu 4
@
@kavoomshana2413منذ 5 سنواتNamjua huyu mother alikuwa idara ya maji anapiga gear ile cruzer ni nomaa huyo. 1
@
@agnesarch8436منذ 5 سنواتHongera mom, Mungu akupe ujasiri na nguvu ya kufanya kazi yako, Ila mtangazaji unauliza maswali ya ajabu asee eti "fedha unayopata inakusaidia ktk maswala gani?" brother r u serious!? 1
@janniehenry9589منذ 5 سنواتAsante mama ulimfikisha nancy wetu kyela salama kabisa 1
@
@nkamangi4707العام الماضيNimeendesha sana Victoria Funeral service ya home Moshi ukiendesha watu wanahisi mgaidii jamani hii ni service kama service zingine
@
@liviaG87منذ 5 سنواتMillard Ayo huyu mtangazaji si wa kiwango cha Millard Ayo. Sijui umemtoa wapi 3
@
@alexanderhaule7667منذ 5 سنواتNamjua hyu kwa wiki lazima nipishane nae hpa kcmc nikiingia chuo mara kadhaa 5
@
@deodatusnchimbi7633منذ 5 سنواتwanaume wa dar atuwezi sisi izo vitu we pambana tu dada 5
@
@hisanmwakijungu10منذ 4 سنواتKilicho nivutia ni ilo shape. Mengine yoote ata
@
@aminasalum1954منذ 5 سنواتYote9 unamzigo dadaake balaa huo mshep nishida
@
@angeljackson4329منذ 5 سنواتUnauliza maswali Kama unamuuliza mtoto wakati huyo ni mama na mtu mzima hebu uliza maswali yenye tija
@bashiruhassani1017العام الماضيUyu mtangazaji anauliza maswar ya kijinga
@
@minabw7301منذ 5 سنواتDuuh wabongo kwa kuogopa maiti!! Kuosha maiti, kumuandaa na kumsafirisha ni kazi nzuri sana tena ya kimungu na haitishi na wala huoti usiku. I never dream id="hidden4" class="buttons"> of the dead. Treat the body right, respect the dead and nothing will ever happen to you. When your time comes, remember you have family, strangers and friends that you treated well on the other side. They will welcome you with love ....وسعت4
Related videos for MAMA MAARUFU MOSHI ANAENDESHA GARI LA KUBEBA MAITI WANAUME WANANIOGOPA:
friends that you treated well on the other side. They will welcome you with love ....وسعت 4
Hizi ndo Habari safiii
Nzuri umeanza kutuletea 3
I told U wewe ni moja Kati ya Mama Wa Dhahabu sana.
Mungu akubariki 1
Ila mtangazaji unauliza maswali ya ajabu asee eti "fedha unayopata inakusaidia ktk maswala gani?" brother r u serious!? 1
friends that you treated well on the other side. They will welcome you with love ....وسعت 4