@khamiskasulwa8131منذ 4 سنواتHongera sana Dr. Tumefurahi sana kwa ushindi huo na sasa imebaki kukupa Jimbo tu, na tunakupa 3
@
@malingazeboss9351منذ 4 سنواتTulia hawez chukua Jimbo la mbeya labda akagombee majimbo yaliyo jaa mashoga lakin kwa mbeya town tulia hachukui kiti.
@
@evansmlalo4049منذ 4 سنواتWatu wa Mbeya mkiuza jimbo CCM mimi nitawashangaa sana. Dunia nzima lazima kuwe na vyama vya upinzani ili Serekali iliyoko madarakani ifanye kazi.
@
@rashidiwhite5646منذ 4 سنواتNyiee ccm nyiee sio kila milango mnayopanga owe hivyoo wanambeya tulipotee sugu lila kituu hapo snache kubuluzwa kama wayao wameshindwa kupeleka lami hata hosp polis,bomani hata kwenye ofisi yako ya ccm duu 1
@
@teddykanondo5753منذ 4 سنواتWWatanzania bwana wa ajabu sana. Watu wa Mbeya jimbo lenu abaki kuwa "SUGU" acheni kununuliwa na CCM.
@
@mohamedjeizan5929منذ 4 سنواتWambeya wasipo kuchaguwa kwenye uchaguzi mkuu watakuwa wamepoteza bahati ya mtende 1
@
@georgembilinyi2824منذ 4 سنواتWE KAMA MAMA YANGU ENDELEA NA MAMB MENGINE AU KUMSAIDIA MMEO BAADHI YA MAMBO NYUMBUNI HAPA MBEYA AKUNA WA KUMTOA BRATHER SUGU.SUNGU MBEYA KAMA RAIS WETU
@
@eddynyaki5539منذ 4 سنواتAshukuriwe Mungu! Hongera sn mbunge mpya ajae wa mbeya mjini Mungu azidi kukujakia afya njema
Related videos for DK TULIA AIBUKA KIDEDEA KURA ZA MAONI, UCHAGUZI CCM JIMBO LA MBEYA: